Home Makala Niyonzima Aongeza Jiko La Pili

Niyonzima Aongeza Jiko La Pili

by Sports Leo
0 comments

Kiungo  anayecheza ndani ya klabu ya Yanga ,Haruna Niyonzima ameamua kuongeza mke wa pili ikiwa ni mwezi wa Ramadhani.

Niyonzima ameamua kufunga ndooa hiyo kimya kimya na mwanadada aitwaiye Cassandra Rayan.

Juma Abdul ambaye ni nahodha wa Yanga ndiye alikuwa msimamizi wake wakati ndoa hiyo ikifungwa kwa wawili hao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited