Home Soka Bigirimana Awasubiri Simba sc

Bigirimana Awasubiri Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa timu ya Namungo FC, Bigirimana Blaise amesema mchezo wa kesho dhidi ya Simba utakuwa mgumu lakini wamejipanga kuhakikisha wanapata ushindi ili kujiweka kwenye nafasi nzuri katika nafasi tatu za juu.

Namungo inashika nafasi ya nne ikizidiwa pointi moja na Yanga sc yenye pointi 60 huku ikitakiwa ishinde mechi hiyo dhidi ya mabingwa mara tatu mfululizo Simba sc ili kujiwekea mazingira mazuri ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited