Home Soka Man U inajipigia Tu

Man U inajipigia Tu

by Sports Leo
0 comments

Manchester United imeibuka na ushindi wa Mabao 3-0 dhidi ya Aston Vila mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza uliofanyika katika uwanja wa Vila Park.

Mabao ya Man utd yaliwekwa na Bruno Fernandes kwa penati dakika ya 27 huku Mason Green akifunga bao la pili na la 16 kwake katika mashindano yote dakiki za nyongeza kipindi cha pili.

Paul Pogba ameendeleza mwanzo mzuri tangu arejee baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 58 na kufanya Man Utd kuweka rekodi ya kushinda mechi nne mfululizo kwa mabao zaidi ya matatu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited