Home Makala KMKM Vs Yanga Kitaeleweka Leo

KMKM Vs Yanga Kitaeleweka Leo

by Sports Leo
0 comments

KMKM Sc ya Zanzibar tayari imewasili leo jijini Dar tayari kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Yanga Sc utakaochezwa leo Septemba 30,uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi.

 

Mchezo huo wa kirafiki unatarajiwa kupigwa majira ya saa 1:00 usiku ukiwa na malengo ya kukiweka sawa kikosi cha Yanga kwa ajili ya mechi ijayo ya ligi kuu bara dhidi ya Coastal Union unaotarajiwa kuchezwa Octoba 3,uwanja wa Mkapa.

 

Mechi ya leo kati ya Yanga inayonolewa na kocha mkuu ,Zlatko Krmpotic didi ya KMKM kiingilio ni 5,000 kwa mzunguko huku VIP ni 10,000.

 

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited