55
KMKM Sc ya Zanzibar tayari imewasili leo jijini Dar tayari kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Yanga Sc utakaochezwa leo Septemba 30,uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi.
Â
Mchezo huo wa kirafiki unatarajiwa kupigwa majira ya saa 1:00 usiku ukiwa na malengo ya kukiweka sawa kikosi cha Yanga kwa ajili ya mechi ijayo ya ligi kuu bara dhidi ya Coastal Union unaotarajiwa kuchezwa Octoba 3,uwanja wa Mkapa.
Â
Mechi ya leo kati ya Yanga inayonolewa na kocha mkuu ,Zlatko Krmpotic didi ya KMKM kiingilio ni 5,000 kwa mzunguko huku VIP ni 10,000.
Â