Home Makala Gormahia Wapata Mrithi Wa Polack

Gormahia Wapata Mrithi Wa Polack

by Sports Leo
0 comments

Gormahia ambao ni mabingwa mara 19 wa ligi kuu ya Kenya (KPL) wamejinasia huduma za kocha mpya,Roberto Oliveira ambaye atakuwa mbadala wa mwingereza Steven Polack aliyejiuzulu usiku wa Octoba 8,akiwa likizoni Finland.

Oliveira ambaye anajivunia miaka takribani 25 ya ukufunzi ,amewahi pia kukinoa kikosi cha Rayon Sport ya nchini Rwanda na kudhibiti mikoba mbalimbali za timu ya taifa barani Afrika,klbu za uarabuni na vikosi vya ligi kuu ya Brazil.

Kocha huyo wa Brazil pia aliwahi kuiongoza Rayon Sport kuvaana na Gormahia kwenye mashindano ya CAF miaka mitatu iliyopita.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited