Home Makala Katwila Aivua Mtibwa,Aibukia Ihefu Fc

Katwila Aivua Mtibwa,Aibukia Ihefu Fc

by Sports Leo
0 comments

Baada ya kocha mkuu wa Mtibwa Sugar,Zuberi Katwila kumwaga manyanga jana Oktoba 18, ndani ya kikosi hicho ambacho alikuwa nacho kwa muda mrefu ameibukia Ihefu Fc ya Mbeya.

Katwila anachukua mikoba ya Maka Mwalwisi aliyefutwa kazi Oktoba 6 ndani ya Ihefu FC kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo ambayo imepanda ligi kuu bara msimu huu 2020/2021.

Akiwa Mtibwa Sugar  aliambulia ushindi mchezo mmoja dhidi ya Ihefu FC kwa kuifunga bao 1-0 na alilazimisha sare mbili huku akipoteza mechi tatu katika raundi sita.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited