Azam Fc yaifunga 1-0 Ihefu Fc
Bao la Feisal Salum Dakika ya 13 ya mchezo kati ya Azam Fc dhidi ya Ihefu Fc limetosha kuipatia alama tatu klabu yake hiyo katika mchezo wa ligi kuu baina ya timu hizo uliofanyika katika uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam. Azam Fc iliyokua ikitafuta alama hizo muhimu ili kuendelea kujichimbia katika nafasi ya…
