Home Soka Dube,Sure Boy Wapewa Tuzo

Dube,Sure Boy Wapewa Tuzo

by Sports Leo
0 comments

Kiungo Salum Abubakary na Mshambuliaji Prince Dube wa Azam fc wametwaa tuzo za wachezaji bora wa mwezi Septemba na Oktoba wa klabu hiyo yenye maskani yake Chamazi jijini Dar es salaam.

Tuzo hizo walikabidhiwa kabla ya kuanza kwa mchezo baina ya timu hiyo na Dodoma jiji Fc ambao Azam fc waliibuka na ushindi wa mabao 3-0.

Sure boy alitwaa tuzo hiyo akiwashinda wachezaji wenzake, beki Bruce Kangwa, kiungo mkabaji Ally Niyonzima, washambuliaji Obrey Chirwa na Prince Dube,Huku Dube akiwashinda David Kissu,Abdallah Kheri,Bruce Kangwa na Salum Abubakary.

banner

Tuzo hiyo walikabidhiwa na Sheikh Twalib, kabla ya kuanza kwa mchezo kati ya Azam FC na Dodoma Jiji uliochezwa jana Novemba 5.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited