Home Soka Makame Atua Rasmi Polisi

Makame Atua Rasmi Polisi

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa klabu ya Yanga sc Abdulaaziz Makame amejiunga rasmi na klabu ya Polisi Tanzania akitokea klabu ya Yanga sc kwa mkopo wa miezi sita mpaka mwishoni mwa msimu.

Awali makame alisajili na Yanga sc misimu miwili ilkiyopita na anaelekea mwishoni mwa mkataba wake huku sababu kubwa ya kutolewa kwa mkopo ni kukosa nafasi katika kikosi cha kwanza baada ya kuwasili kwa Mukoko Tonombe.

Makame tayari amesharipoti katika mazoezi ya klabu ya Polisi Tanzania inayojiandaa na mchezo dhidi ya Azam Fc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited