Home Makala Bakayoko Kubaki Napoli

Bakayoko Kubaki Napoli

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa kati wa Chelsea Tiemoue Bakayoko anatarajiwa kuondoka katika klabu hiyo ya Stamford Bridge huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 akiendelea kuitamanisha klabu ya Napoli ambapo yupo kwa mkopo.

Kiungo huyo alisajiliwa na Chelsea akitokea Monaco ya nchini Ufaransa ambako aling’ara lakini kutokana na kukosa nafasi katika kikosi cha Chelsea alijikuta anakaa benchi mpaka klabu hiyo ilipomtoa kwa mkopo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited