Home Soka Ighalo Atua Rasmi Uarabuni

Ighalo Atua Rasmi Uarabuni

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United Mnigeria Odion Ighalo amejiunga na klab ya Al-Shabab ya Saudi Arabia akitokoea Shanghai Shenhua ya nchini China.
Hii ni baada ya mkataba wake na Man Utd wa mkopo kuisha ambapo aliitumikia klabu hiyo kwa msimu mmoja huku akicheza michezo 23 na kufunga mabao 5 katika michezo mbalimbali.
Awali ilitakiwa mchezaji huyo akaripoti nchini china katika klabu yake lakini mmiliki wa timu hiyo alimpa ruhusa staa huyo kuzungumza na Al shabab ili kukamilisha usajili wake.

 

 

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited