Home Soka Man Utd Yasawazishiwa Jioni

Man Utd Yasawazishiwa Jioni

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Manchester United imeshindwa kuondoka na alama tatu katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Everton uliofanyika katika uwanja wa Old Trafford.

Man United iliongoza mabao mawili ya awali kutoka kwa Edson Cavani na Bruno Fernandes lakini mwanzoni mwa kipindi cha pili yalisawazishwa kupitia kwa Abdoulaye Doucoure lakini kipindi cha pili dakika ya 70 Scott Mactominay aliongeza bao la tatu kwa Man united ambalo lilisawazishwa dakika ya mwisho ya mchezo.

Man United endapo wangeshinda wangepunguza pengo la alama dhidi ya Man city wenye mchezo mgumu dhidi ya Liverpool jioni ya leo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited