Home Soka Eymael Aomba Radhi Tena

Eymael Aomba Radhi Tena

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa zamani wa Klabu ya Yanga, Luc Eymael, ameomba msamaha kwa wadau na wapenzi wa Mpira wa Miguu Afrika kufuatia kutoa maneno ya kiubaguzi (Kuwaita mashabiki wa Yanga ni nyani) kipindi akiwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga.

-ymael ambaye toka alipofukuzwa katika Klabu Yanga hajawahi kudumu katika Klabu yoyote ile kutokana na kashfa hiyo ya Maneno ya kibaguzi aliyoitoa katika Klabu ya Yanga, ameomba radhi kwa wadau wa soka na kusema kuwa yeye ni mmoja wa watu wanaopinga ubaguzi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited