Home Soka Simba Sc ”Out”

Simba Sc ”Out”

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba sc imetolewa katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika licha ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Kaizer Chiefs Fc ya nchini Afrika ya kusini.

Kipigo cha awali cha mabao 4-0 ilichokipata ugenini ndicho kimewaangusha kwani walitakiwa kushinda mabao 5-0 ili kufuzu hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo mikubwa barani Afrika.

Mabao ya Simba sc katika mchezo huo yalifungwa na John Boko aliyefunga mawili dakika za 24 na 56 huku Cletous Chama akifunga la mwisho dakika ya 86 na mpaka mwamuzi kutoka Burundi akipuliza kipyenga mchezo ulibaki na mabao 3-o na Kaizer kufanikiwa kufuzu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited