Home Makala Waarabu Wainunua Newcastle

Waarabu Wainunua Newcastle

by Sports Leo
0 comments

Mchakato wa kuiuza klabu ya Newcastle United inayoshiriki ligi kuu ncini Uingereza Epl umekamilika rasmi huku wamiliki wapya wa klabu hiyo wakiwa ni makampuni ya Public Inestment Fund,PCP Capital Partners na RB Sports&Media ambao wameinunua kwa kiasi cha Paundi 300m.

Taarifa iliyotolewa na Premier League ambao ni wasimamizi wa ligi kuu nchini Uingereza imethibitisha kupokea nyaraka rasmi za umiliki mpya wa klabu hiyo huku wamiliki hao wakionyesha kuwa watabadilisha kocha mkuu Steve Bruce japo haijajulikana ni lini mabadiliko hayo yatafanyika.

Klabu hiyo itakua na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tottenham siku ya Octoba 17 mwaka ambayo itakua ni mechi ya kwanza chini ya umiliki mpya baada ya kumilikiwa na Mike Ashley kwa miaka 14.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited