Home Makala Ajax Wapoteza Tena Kwa Liverpool

Ajax Wapoteza Tena Kwa Liverpool

by Sports Leo
0 comments

Baada ya Ajax kuwakaribisha Liverpool kwenye uwanja wao wa nyumbani Johan Cruijff Arena wameambulia kuchapwa bao 1-0 na mabingwa hao watetezi wa ligi kuu England.

Bao la pekee la Liverpool lilipachikwa na Nicolas Tagliafico dakika ya 35 na kuwafanaya mabingwa hao watetezi kuchukua alama tatu pekee katika mchezo huo.

Liverpool ipo nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi kuu England ikiwa na pointi kumi katika mechi tano ilizocheza.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited