Home Makala Chama Atwaa Tuzo Fainali FA

Chama Atwaa Tuzo Fainali FA

by Sports Leo
0 comments

Nyota wa kikosi cha Simba,Clautos Chama amekabidhiwa leo tuzo ya mchezaji bora wa mashindano ya Kombe la Shirikisho.

Simba imetwaa taji mbele ya Namungo FC kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 kwenye mchezo wa kibabe uliochezwa Uwanja wa Nelson Mandela,  Sumbawanga.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited