Home Makala Coastal Union Wakomaa Na Mwamnyeto

Coastal Union Wakomaa Na Mwamnyeto

by Dennis Msotwa
0 comments

Uongozi wa klabu ya Coastal Union ya Tanga umekanusha taarifa zilizoenea kuwa beki wao tegemeo ambaye pia ni beki wa timu ya taifa ya Tanzania  Bakari Mwamnyeto Nondo amesajiliwa na klabu ya Simba na akatolewa kwa mkopo wa miezi 6 klabuni hapo.

Awali taarifa zilidai kuwa timu hiyo imemuuza beki kwenda Simba sc huku wakikubaliana kubakia klabuni hapo hadi mwishoni mwa msimu huu.

Uongozi umesisitiza taarifa hizo ni za uongo, Nondo ni Mchezaji wao na hawajaafikiana na klabu yeyote kuhusu uhamisho wake.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited