Home Makala Goli la Mama Sasa 30m

Goli la Mama Sasa 30m

by Sports Leo
0 comments

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali Mh.Gerson Msigwa, amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza bao moja katika Fainali ya Kombe la Shirikisho ambayo atacheza Simba itakuwa ni Milioni 30.

Simba sc iatcheza michezo miwili ya fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Rs Berkane Mei 17 2025 nchini Morocco na marudiano kufanyika Mei 25 2025 jijini Dar es Salaam.

banner

Rais Samia Suluhu Hassan amekua na utaratibu wa kununua kila goli katika michuano ya kimataifa ambayo vilabu vimekua vikishiriki ambapo zawadi hizo zimekua kati ya milioni 5 mpaka 10.

Lakini kutokana na umuhimu wa mchezo huo wa fainali dau hilo limepanda mpaka milioni 30 kwa kila goli ili kuipa Hamasa Simba sc kuelekea mchezo huo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited