Rais Samia leo8a3e18cac290 780x470 1

Samia Achangia Mil.500 Stars

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan amechangia jumla ya kiasi cha Tsh.milioni mia tano kwa ajili ya kusaidia timu za Taifa za michezo mbalimbali ambayo zitakua zinashiriki kimataifa. Timu hizo zinajumuisha timu za Taifa za michezo mbalimbali ikiwemo soka kwa wanawake na wanaume,Kikapu,Riadha,soka la ufukweni,mpira wa walemavu na nyinginezo ambazo zitapata…

Soma Zaidi
393167127 18379804834071034 8524285069001000453 n

Mamilioni ya Samia Yatua AFL

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa zawadi ya Tsh.10 milioni kwa kila goli ambalo Simba sc  watafunga katika mchezo dhidi ya Al Ahly ambao utachezwa siku ya Ijumaa Oktoba 20, 2023 saa 12:00 jioni katika Uwanja wa Mkapa. Ahadi hiyo ya Rais Samia imetolewa na katibu mkuu…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks