Home Makala Huku Dube,Kule Mozinzi

Huku Dube,Kule Mozinzi

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa hatari wa Azam akiendelea na mazoezi yake binafsi ya kujiweka fiti baada ya kuwa nje ya dimba kwa muda sasa akiuguza jeraha.

Kupona kwa Dube kumekua faraja kwa Azam Fc ambayo hivi karibuni imemsajili Mpiana Mozinzi kutokea nchini Congo kuja kuongeza makali katika safu ya ushambuliaji ya klabu hiyo.

Sasa inatarajiwa kuwa uwepo wa Dube,Mozinzi na Chirwa kutawapa tabu mabeki wa ligi kuu ili kurejesha heshima ya klabu hiyo ambayo imekua na matokeo ya kusuasua.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited