Home Makala Jembe KMC Atambulishwa Rasmi Simba

Jembe KMC Atambulishwa Rasmi Simba

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa Simba Sc umemtambulisha rasmi ,Charlse Ilanfya kwenye kikosi kinachonolewa na kocha mkuu Sven Vandenbroeck.

Ilanfya alikuwa anakipiga ndani ya KMC ambapo aliibukia huko msimu wa 2018/19 akitokea labu ya Mwadui Fc na amekuwa chaguo la Sven kwa msimu unaoanza wa 2020/2021.

Winga huyo alitupia mabao 6 kati ya 35 ndani ya KMC kwenye ligi iliyomaliza ikiwa nafasi ya 13 katika msimu wa 2019/2020.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited