Uongozi wa Simba Sc umemtambulisha rasmi ,Charlse Ilanfya kwenye kikosi kinachonolewa na kocha mkuu Sven Vandenbroeck.
Ilanfya alikuwa anakipiga ndani ya KMC ambapo aliibukia huko msimu wa 2018/19 akitokea labu ya Mwadui Fc na amekuwa chaguo la Sven kwa msimu unaoanza wa 2020/2021.
Winga huyo alitupia mabao 6 kati ya 35 ndani ya KMC kwenye ligi iliyomaliza ikiwa nafasi ya 13 katika msimu wa 2019/2020.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.