Home Makala Jembe KMC Atua Polisi Tanzania

Jembe KMC Atua Polisi Tanzania

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa Polisi Tanzania umemalizana na mshambuliaji, Ramadhani Kapera aliyekuwa anakipiga ndani ya KMC.

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 23 amesaini kandarasi ya mwaka mmoja Polisi Tanzania akiwa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake kuisha ndani ya KMC.

Kapera amesajiliwa ndani ya Polisi Tanzania akiwa ni pendekezo la benchi la ufundi kwani wanaamini atawafaa kuongeza nguvu katika kikosi chao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited