Home Makala Karibu Nyumbani Samatta

Karibu Nyumbani Samatta

by Sports Leo
0 comments

Mtanzania Mbwana Samatta ambaye ni mshambuliaji wa Aston Villa ya nchini Uingereza na kinara katika timu ya Taifa (Taifastars) ya Tanzania, anatarajia kutua nchini wiki hii baada ya ligi ya nchini humo kufikia tamati mwishoni mwa wiki iliyopita.
Samatta ambaye timu yake ya Aston Villa imenusurika kushuka daraja msimu huu, imemaliza katika nafasi ya 17 ya msimamo wa Premier League ikiwa na pointi 34.
Villa imeshinda michezo tisa huku ikitoa sare kwenye michezo saba na kupoteza michezo 21 ndani ya premier League.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited