Home Makala Kayoko Aandika Historia Ngao Ya Jamii

Kayoko Aandika Historia Ngao Ya Jamii

by Sports Leo
0 comments

Ramadhani Kayoko ni miongoni mwa refa atakayechezesha mchezo wa leo wa ngao ya jamii baina ya Simba sc na Namungo Fc uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha saa 9:00 alasiri.

Licha ya refa huyo kuwa na umri mdogo wa miaka 28 amezidi kuandika historia ya kuwa mwamuzi ambaye amechezesha idadi kubwa ya mechi kubwa ndani ya muda mfupi kuliko wengine.

Kayoko ndani ya kipindi cha siku 60 ameweza kuchezesha michezo minne mikubwa kwenye mashindano tofauti nchini ambayo yote imefanyika mwaka huu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited