Home Makala Kipa Coastal Union Amwaga Wino KMC

Kipa Coastal Union Amwaga Wino KMC

by Dennis Msotwa
0 comments

KMC Fc imekamilisha usajili wa golikipa, Masoud Abdallah (Dondola) kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Coastal union.

Nyota huyo alikuwa kwenye ubora msimu wa 2019/2020 ambapo alijikusanyia Clean Sheet 17 akiwa ndani ya Coastal Union.

Abdallah anakuwa ni kipa wa pili kusaini dili jipya ndani ya KMC ambapo anaungana na Raheem Sheikh ambaye ni kipa aliyekuwa anakipiga ndani ya Mbao FC.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited