Home Makala Lampard Haelewi Wamekwama Wapi spurs

Lampard Haelewi Wamekwama Wapi spurs

by Sports Leo
0 comments

Mchezo wa Kombe la Carabao hatua ya 16 bora uliochezwa jana uwanja wa Tottenham Hotspur kati ya Chelsea na Tottenham Hotspurs ulikuwa na ushindani mkubwa na dakika 90 zilikamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1 jambo lililopelekea mshindi kupatikana kwa penalti.

Chelsea ilianza kupachika bao kupitia Timo Werner dakika ya 19 na lilisawazishwa dakika ya 83 na Erik Lamela ambapo kwenye penalti, Spurs inayonolewa na Jose Mourinho ilishinda penalti 5-4.

Lampard amesema kuwa wachezaji wake walionekana wamechoka kwenye mchezo huo jambo lililowafanya washindwe kuibuka na ushindi jumlajumla japo walianza kupata ushindi dakika 45 za mwanzo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited