Home Makala Ligi Kurejea Mapema Mwezi Juni

Ligi Kurejea Mapema Mwezi Juni

by Sports Leo
0 comments

Serikali ya Uingereza imebainisha kuwa matukio yote ya kimichezo nchini humo imeruhusiwa kurejea ifikapo mapema mwezi June, ila pasipo kuwa na watazamaji(mashabaki).

Mashabiki nchini humo wamearifiwa kuwa wataanza kuingia viwanjani endapo tu chanjo ya virusi vya Corona itapatikana .

Wakati huo huo mwenyekiti wa FA, Greg Clarke ameviambia vilabu vya Ligi kuu Uingereza kuwa kushushwa daraja kupo pale pale na msimu lazima umalizike kwa kuchezwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited