Home Makala Morrison Noma,Ashinda Kesi Yanga

Morrison Noma,Ashinda Kesi Yanga

by Sports Leo
0 comments

Kesi ya Benard Morrison na Yanga Sc imeisha baada ya mchezaji huyo kushinda kesi yake kuhusu mkataba wake dhidi ya timu ya Yanga baada ya kuonekana kuwa mkataba huo una mapungufu.

Mwenyekiti wa kamati ya sheria na hadhi za wachezaji wa TFF,Elias Mwanjala amekiri kuonekana kwa mapungufu kwenye mkataba wa Morrison hivyo wamempa mshambuliaji huyo kuchagua timu atakayo hitaji kucheza.

Licha ya kupewa uhuru wa kuchagua timu ,pia wamempeleka kamati ya maadili ya shirikisho la soka Tanzania(TFF) kwa kosa la kuingia mkataba na timu nyingine huku kesi yake na Yanga ikiendelea.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited