Nyota wa zamani wa Yanga Saimon Msuva amesaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia klabu ya Benfica ya Ureno akitokea klabu ya Diffaa El-Jadid ya nchini Morroco.
Meneja wa nyota huyo Jonas Tiboroha amethibitisha kuwa licha ya kusainiwa na Benfica atapelekwa kwa mkopo Panathinaikos ya Ugiriki kwa miezi 6 hivyo Msuva atajiunga rasmi na Benfica mwezi Julai
Msuva alitua Difaa El Jadid akitokea Yanga aliyoitumikia kwa mafanikio makubwa miaka mitatu iliyopita.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Msuva atakuwa mchezaji wa pili kutoka Tanzania kusajiliwa na timu kubwa barani Ulaya akiungana na Mbwana Samatta anayekipiga KRC Genk