Home Makala Mugalu Fiti Kuivaa Yanga sc

Mugalu Fiti Kuivaa Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Straika wa klabu ya Simba sc Chrispine Mugalu ameonekana kuwa fiti kuivaa timu ya Yanga sc katika mchezo wa ligi kuu baada ya jana kuingia uwanja kuivaa Kagera Sugar.

Awali kocha Sven Vandebroek alikaririwa akisema kuwa washambuliaji wake Mugalu na Meddie Kagere kuwa majeruhi hivyo wanaweza kutoshiriki mchezo huo wenye hamasa zaidi nchini.

Lakini jana staa huyo alionekana kuwa fiti akikabiliana na mikiki ya mabeki Ally Sonso na wenzake japo hakufanikiwa kufunga bao lolote.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited