Home Makala Namungo Waangukia Kundi la Kifo

Namungo Waangukia Kundi la Kifo

by Sports Leo
0 comments

Baada ya kupata ushindi wa mabao 6-2 dhidi ya Primera de agosti ya nchini Angola katika mchezo wa kwanza wa kombe la shirikisho uliofanyika katika uwanja wa Chamazi sasa timu hiyo imewekwa katika kundi la kifo endapo itafuzu kuingia hatua ya makundi.

Iko hivi licha ya timu hizo kubakisha mchezo mmoja wa marudiano,Shirikisho la soka barani afrika limetoa kabisa orodha ya makundi ya timu hizo yalipangwa hivi leo na endapo namungo atafuzu basi ajindae kukutana na waarabu katika mechi nne kati ya sita.

Makundi kamili haya hapa…

banner
CAF Confederation Cup Groups
GROUP A
Enyimba FC 🇳🇬
ES Sétif 🇩🇿
Orlando Pirates 🇿🇦
Al Ahli Benghazi 🇱🇾
GROUP B
RS Berkane 🇲🇦
JS Kabylie 🇩🇿
Cotonsport Garoua 🇨🇲
NAPSA Stars 🇿🇲
GROUP C
Etoile Sahel 🇹🇳
CS Sfaxien 🇹🇳
Salitas FC 🇧🇫
ASC Jaraaf 🇸🇳
GROUP D
Raja Club Athletic 🇲🇦
Pyramids FC 🇪🇬
Nkana FC 🇿🇲
Namungo SC 🇹🇿/Primeiro Agosto 🇦🇴

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited