Home Makala Neymar Aidhibu Man United

Neymar Aidhibu Man United

by Sports Leo
0 comments

Mabao mawili ya Neymar dakika ya 6 na 90+2 yalitosha kuipa ushindi wa 3-0 timu ya Paris St.German dhidi ya Manchester United katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani ulaya.

Neymar alifunga mabao hayo kutokana na uzembe wa mabeki wa Man United huku pia Marquinhos akifunga dakika ya 69 baada ya Marcus Rashford kuisawazishia united dakika ya 31.

Sasa Man United wana kazi ya kufanya ili kufuzu hatua ya 16 bora watakapokua ugenini kuivaa Lb Leipzig huku wakihitaji alama moja kufuzu kupitia kundi hilo la H.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited