Home Makala Nugaz atemwa Yanga SC

Nugaz atemwa Yanga SC

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya soka ya Yanga imetoa taarifa rasmi ya kuachana na Afisa mhamasishaji wa timu hiyo Antonio Nugaz ambaye mkataba wake wa miaka miwili umemalizika.

Klabu ya Yanga imeamua kutomuongezea Nugaz mkataba baada ya kumaliza mkataba wake wa awali aliousaini miaka miwili iliyopita akiwa kama Afisa mhamsishaji wa klau hiyo yenye makao makuu mitaa ya Twiga na Jangwani Kariakoo.

Nugaz atakumbushwa kwa mchango wake mkubwa kuwahamasisha mashabiki wa Yanga kwa kauli zake kama ‘wape salam’ iliyojizolea umaarufu nchini,hata hivyo kuondoka kwake kunatajwa kutokana na Yanga kumuajiri aliyekuwa msemaji wa Simba Haji Manara.

banner

 

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited