Home Makala Tanzania Prisons Wakabidhiwa Usafiri

Tanzania Prisons Wakabidhiwa Usafiri

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Tanzania Prisons siku ya Jana wamekabidhiwa basi dogo la kisasa lenye thamani ya shilingi milioni 75 na uongozi wa Jeshi la Magereza Tanzania.

Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleiman Mzee amesema kuwa kwa muda mrefu klabu hiyo haikuwa na usafiri hivyo iliwalazimu Uongozi wa klabu kukodi magari ili kuwafikisha wachezaji wake uwanjani jambo lililochangia kuongeza gharama za uendeshaji wa Klabu.

Hivyo katika makabidhiano ya gari hilo itasaidia kupunguza gharama za usafiri walizokuwa wanatumia kukodi magari na badala yake pesa ile itatumika katika matumizi mengine ya kuinua klabu yao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited