Home Makala Saba Kushushwa Yanga,11 Kutemwa

Saba Kushushwa Yanga,11 Kutemwa

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha mkuu wa kikosi cha Yanga Sc ameanza mikakati ya kusuka upya kikosi chake huku akiweka wazi kuwa anahitaji wachezaji saba na amepanga kuwatema 11.

Yanga inaonekana kupata wakati mgumu kwa sasa kutokana na kutolewa kwenye mashindano ya kombe la shirikisho(FA) na kwaacha watani wao wa jadi Simba Sc klabu wakitwaa ubingwa kwa miaka mitatu mfululizo.

Eymael ambaye amefundisha soka barani Afrika na kutwaa mataji sita,amesema kwa namna anavyokithamini kikosi chake na kuona uwezo wa kila mchezaji kuna ulazima wa kufanya usajili wa maana ambao utazingatia mahitaji ya timu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited