Kocha mkuu wa kikosi cha Yanga Sc ameanza mikakati ya kusuka upya kikosi chake huku akiweka wazi kuwa anahitaji wachezaji saba na amepanga kuwatema 11.
Yanga inaonekana kupata wakati mgumu kwa sasa kutokana na kutolewa kwenye mashindano ya kombe la shirikisho(FA) na kwaacha watani wao wa jadi Simba Sc klabu wakitwaa ubingwa kwa miaka mitatu mfululizo.
Eymael ambaye amefundisha soka barani Afrika na kutwaa mataji sita,amesema kwa namna anavyokithamini kikosi chake na kuona uwezo wa kila mchezaji kuna ulazima wa kufanya usajili wa maana ambao utazingatia mahitaji ya timu hiyo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.