Home Makala Sapoti Ya GSM kuwainua Yanga Kivingine.

Sapoti Ya GSM kuwainua Yanga Kivingine.

by Dennis Msotwa
0 comments

Nahodha msaidizi wa Yanga,Juma Abdul amesema kuwa mdhamini wao GSM amewaongezea nguvu ya kufanya mazoezi wakiwa nyumbani kutokana na kupewa fursa ya kufanya manunuzi kwenye duka la michezo lililopo Mlimani City.

Abdul amesema kuwa vifaa hivyo walivyonunua vitawasaidia kufanya mazoezi nyumbani kwa umakini huku wakichukua tahadhari dhidi ya COVID-19 ambavyo ni virusi vya Corona.

“Fursa ya kufanya manunuzi kwenye duka la mdhamini wetu tumeifurahia na imetufanya tuwe na furaha zaidi kwani itatufanya tuendelee kufanya mazoezi nyumbani na kuendelea kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona,” alisema nahodha huyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited