Home Makala Shiboub Wa Simba Atimkia Algeria

Shiboub Wa Simba Atimkia Algeria

by Sports Leo
0 comments

Aliyekuwa kiungo wa Simba Sc, Sharaf Shiboub ameamua kutimkia zake Algeria na kujiunga na klabu ya Cs Constantine inayoshiriki ligi kuu nchini humo.

Shiboub amejiunga na klabu hiyo yenye mtaji wa masahbiki katika ligi ya Algeria kwa mkataba wa miaka miwili japo awali alikuwa akihusishwa kutimkia Yanga Sc.

Kiungo huyo alimaliza mkataba wake ndani ya Simba Sc msimu uliopita na alikosa kuwa miongoni mwa chaguo la kocha mkuu Sven Vandenbroeck.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited