Home Soka Simba Sc Kuzindua Jezi Jumatano

Simba Sc Kuzindua Jezi Jumatano

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba Sc itazindua jezi maalumu kwa ajili ya michuano ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho barani Afrika siku ya Jumatano mchana katika ofisi za mdhamini wa jezi hizo Sandaland the only one Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Jezi hizo zinatarajiwa kuwa chache huku zitaizwa kwa bei ya rejareja moja kwa moja ili kuhakikisha hakuna walanguzi.

Simba sc inatarajiwa kuanza kampeni ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano hiyo kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Onze de Marquiz ya nchini Msumbiji katika mchezo utakaofanyika Novemba 26 jijini Dar es Salaam katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited