Home Makala Simba Week Kuzinduliwa Mbagala J’pili

Simba Week Kuzinduliwa Mbagala J’pili

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba sc imetangaza kuwa itafanya uzinduzi wa wiki ya Simba kuelekea katika kilele cha siku ya Simba day ambayo hufanyika kila mwaka August 8 siku ambayo huwa ni sikukuu ya wakulima nchini.

Mkuu wa Idara ya Habari ya klabu hiyo Ahmed Ally ametangaza kuwa uzinduzi wa wiki hiyo ya Simba sc utafanyika katika viwanja vya Mbagala Zakhiem siku ya Jumapili Julai 31 katika viwanja hivyo.

Simba sc imekua na utaratibu wa kuazimisha siku ya Simba day kila mwaka ambapo tamasha hilo maarufu nchini hutumika kutambulisha wachezaji wapya wa klabu hiyo pamoja na benchi la ufundi la klabu hiyo ambayo kwa sasa ipo nchini Misri kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited