FB IMG 1722865640915

Simba Day Kiboko

Tamasha la klabu ya Simba sc maarufu kama Simba day limefanyika kwa mafanikio makubwa ikiwa ni mara ya 16 ambapo limefanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam siku August 3. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo alikua Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh.Hamad Masauni aliyesindikizwa na Naibu Waziri wa Utamaduni,Sanaa na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks