Home Makala “Sina Benchi Imara”-Kaze

“Sina Benchi Imara”-Kaze

by Sports Leo
0 comments

Kufuatia sare ya bao 1-1 dhidi ya Simba sc kocha wa Yanga sc Cedrick Kaze amelalamika kutokuwa na wachezaji mbadala katika benchi lake ni moja ya sababu iliyosababisha kupoteza mchezo huo.

Kaze alisema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari hasa baada ya kuonekana akitumia kujilinda zaidi hasa mwanzoni mwa kipindi cha pili.

Kocha huyo alimtoa Michael Sarpong na kumuingiza Yacouba Sogne hali iliyosababisha timu hiyo kutokua na makali hasa eneo la ushambuliaji na kuwapa uhuru mabeki wa Simba sc kujenga mashambulizi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited