Home Makala Sven ,Napenda Samaki

Sven ,Napenda Samaki

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu wa Simba Sc amesema kuwa miongoni mwa msosi anaopenda kula ni samaki wale wa bahari ya hindi kwa kuwa wana ladha ya kipekee.

Sven ameongoza mechi 18 ndani ya klabu ya Simba baada ya kupokea mikoba ya Patrick Aussems ambaye alipigwa chini baada ya kuongoza mechi 10 za ligi.

“Ninapenda kula samaki  wa bahari ya hindi kwani ni wazuri na watamu hivyo nimekuwa nikipenda kula mara nyingi tangu nifike Tanzania,” Sven Vandenbroeck

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited