Kocha mkuu wa Simba Sc amesema kuwa miongoni mwa msosi anaopenda kula ni samaki wale wa bahari ya hindi kwa kuwa wana ladha ya kipekee.
Sven ameongoza mechi 18 ndani ya klabu ya Simba baada ya kupokea mikoba ya Patrick Aussems ambaye alipigwa chini baada ya kuongoza mechi 10 za ligi.
“Ninapenda kula samaki wa bahari ya hindi kwani ni wazuri na watamu hivyo nimekuwa nikipenda kula mara nyingi tangu nifike Tanzania,” Sven Vandenbroeck
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.