Home Makala Tariq Kuwavaaa Mbeya City

Tariq Kuwavaaa Mbeya City

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji Tariq Seif huenda akapewa nafasi ya kuongoza safu ya ushambuliaji kwenye mchezo dhidi ya Mbeya City baada ya kupona majeraha

Jana Tariq alikuwa miongoni mwa wachezaji wa akiba hata hivyo hakupata nafasi ya kucheza.

Eymael alifafanua kuwa kutokana na mchezo ulivyokuwa ukiendelea, aliona haikuwa sahihi kumuingiza Tariq

banner

“Nilipanga kama tungefunga mabao mawili angeingia. Najua mashabiki wana shauku kubwa ya kumuona tangu arejee kutoka majeruhi. Lakini atakuwepo kwenye mchezo ujao,” alisema kocha huyo raia wa Ubelgiji

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited