Home Makala Uongozi Yanga,Yaliyozushwa Si Kweli

Uongozi Yanga,Yaliyozushwa Si Kweli

by Dennis Msotwa
0 comments

Uongozi wa timu ya wananchi Yanga umekanusha kuwa  hawakumtuhumu mkuu wa mkoa wa Dar-es-salaam ,Paul Makonda kuhusu jambo lolote linalohusiana na timu yao ya Yanga.

Taarifa hiyo ilisambaa kwenye mitando ya kijamii kuwa Yanga haikuwa na uwezo wa kuifunga Simba huku ikielezwa kuwa barua hiyo iliyosambazwa ilikuwa ni ya watu ambao si wa kutoka katika ofisi ya klabu hiyo.

Katibu mkuu wa Yanga ,David Ruhango amekataa taarifa hiyo iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii na ameeleza kuwa yanga haihusiki kwa namna yoyote na taarifa hizo kuhusu tuhuma za klabu ya Yanga kwa mkuu wa mkoa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited