Home Makala Yanga Hatulambi Sukari.

Yanga Hatulambi Sukari.

by Sports Leo
0 comments

Timu ya wananchi Yanga Sc inatarajia kucheza mechi yao ya kwanza na Kagera Sugar  kwa mwaka 2020 ikiwa ni mechi ya pili ya ligi kuu kwa mwaka huu baada ya kutoa droo na watani january 4.

Katika uwanja wa Taifa siku ya Jumatano saa moja jioni Yanga Sc na vijana hao wa kocha Mecky Mexime watakichapa na kuona nani atakuwa mbabe kwa mwaka huu.

Yanga wamesema kuwa wanahitaji kuchukua pointi tatu kutoka kwa timu hiyo na hivyo mashabiki wajitokeze kwa wingi kwani muda ni rafiki kwa kila mtu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited