Home Soka Atletico Wakubali Kukatwa Mshahara

Atletico Wakubali Kukatwa Mshahara

by Sports Leo
0 comments

Wachezaji wa klabu ya Atletico Madrid wamekubali kukatwa asilimia 70 ya mishahara yao huku kocha wao Diego Simeone mshahara wake utapunguzwa kwa kiasi cha Pauni Milioni 22.6 kutoka 32.6 .

Dhumuni ni kusaidia wale wafanyakazi wengine wa klabu ili kuweza kukabiliana na janga la uchumi . Kuna takribani ya wafanyakazi 430 ndani ya Atletico Madrid ambao wanafanya kazi nyuma ya pazia ambao hawaonekani uwanjani au kwenye benchi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited