Klabu ya Azam fc imeendelea na harakati zake za kuboresha kikosi chake kwa kusajili baadhi ya nyota wa ligi kuu nchini kimya kimya.
Inadaiwa tayari klabu hiyo imeshamalizana na beki wa klabu ya Polisi Tanzania Yassin Mustafa kwa kumsainisha mkataba na inasubiri msimu umalizike ili imtangaze hadharani.
Yassin amekua akitajwa kuhitajika Yanga toka usajiri wa dirisha dogo ambapo baada ya kumkosa ililazimika kumsajili Adeyum Salehe.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.