Home Soka Azam Inabeba Kimya Kimya

Azam Inabeba Kimya Kimya

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Azam fc imeendelea na harakati zake za kuboresha kikosi chake kwa kusajili baadhi ya nyota wa ligi kuu nchini kimya kimya.

Inadaiwa tayari klabu hiyo imeshamalizana na beki wa klabu ya Polisi Tanzania Yassin Mustafa kwa kumsainisha mkataba na inasubiri msimu umalizike ili imtangaze hadharani.

Yassin amekua akitajwa kuhitajika Yanga toka usajiri wa dirisha dogo ambapo baada ya kumkosa ililazimika kumsajili Adeyum Salehe.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited