Home Soka Azam Yasimamishwa Samora

Azam Yasimamishwa Samora

by Sports Leo
0 comments

Harakati za klabu ya Azam fc kumaliza nafasi ya pili ligi kuu Tanzania bara zimesimamishwa na klabu ya Lipuli Fc baada ya kulazimishwa sare ya mabao 1-1 uwanja wa Samora Mkoani Iringa.

Azam Fc walikua wa kwanza kupata bao kupitia kwa Abdalah Kheri dakika ya 44 lakini walishindwa kulilinda bao hilo na kusawazishwa na Paulo Materazi dakika ya 80 na mchezo kumalizika kwa timu hizo kugawana pointi.

Azam fc imesalia nafasi ya tatu ikiwa na pointi 66 huku Yanga ikishika nafasi ya pili kwa tofauti ya pointi mbili juu ya Azam fc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited