Home Soka Bumbuli,Manara Vita Mpya

Bumbuli,Manara Vita Mpya

by Dennis Msotwa
0 comments

Uhasama wa kutupiana maneno umeibuka kati ya mkuu wa idara ya habari katika klabu ya Simba sc Haji Manara pamoja na Mkuu wa Kitengo cha habari klabu ya Yanga Hassan Bumbuli kufuatika kitendo cha manara kuweka utani katika picha inayosambaa ikionesha gari la Yanga limeharibika tairi.

Inadaiwa Bumbuli alichukizwa na utani huo kiasi cha kumpiga simu Manara ambapo alimporomeshea maneno makali ambayo yanazunguka katika mitandao kupitia Whatsup.

Licha ya kujitahidi kuwatafuta wawili hao kuongelea suala hilo wamekua wagumu japo Manara amesisitiza ataiweka sauti hiyo katika mtandao wake wa Youtube.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited