Uhasama wa kutupiana maneno umeibuka kati ya mkuu wa idara ya habari katika klabu ya Simba sc Haji Manara pamoja na Mkuu wa Kitengo cha habari klabu ya Yanga Hassan Bumbuli kufuatika kitendo cha manara kuweka utani katika picha inayosambaa ikionesha gari la Yanga limeharibika tairi.
Inadaiwa Bumbuli alichukizwa na utani huo kiasi cha kumpiga simu Manara ambapo alimporomeshea maneno makali ambayo yanazunguka katika mitandao kupitia Whatsup.
Licha ya kujitahidi kuwatafuta wawili hao kuongelea suala hilo wamekua wagumu japo Manara amesisitiza ataiweka sauti hiyo katika mtandao wake wa Youtube.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.